KISWAHILI CHATANGAZA BONGO VIZURI HOLLYWOOD
Kiswahili ni moja ya lugha kubwa barani Afrika, kikizungumzwa haswa East Africa na nchi kama
Kenya,
Uganda,Burundi,Rwanda,
Jamuhuri ya muungano wa Congo na kikitumika kama lugha ya taifa nnchini
Tanzania
KISWAHILI HOLLYWOOD
imekuwa fahari kubwa sana kwa East Afrika kuona lugha hiyo ikivuka mipaka hadi kufika nchi za mbali na kuthaminiwa na wasanii wakubwa na hata kakika industry kubwa ya movie ambapo katika baadhi ya movie kimetumika kama part tu ya mazungumzo na nyingine zikitumia katika movie nzima.
2. The Lion King (1994)
movie ambayo najua wengi mmeiona ikihusisha mazingira ya tanzania kama mbuga ya Serengeti na
mlima Kilimanjaro
3. Nowhere in Africa(2001)
Hii ni movie ya kigerman ikihusisha mazungumzo mengi katika lugha ya kiswahili na kigermani, movie
hii inamwonyesha kijana wa kiislaeli akikimbilia kenya kukimbia vita ya pili ya dunia iliyoanzishwa na
Adolf Hitra
4.Out of Africa (1985)
Movie hii ilichezwa kufwatana na kitabu cha Isak Dinesen ambaye alishinda tuzo inahusu wakenya
haswa
5. The African Queen (1951)
inahusu vita ya pili ambapo nahodha wa boti ndogo ya kiafrika analazimika kupigana na vyombo vya
kivita vya majini vya nchi nyingine
6 .Mean Girls (2004)
movie hii inaweza ikawa si ngeni sana kwako ikiwahusisha wadada ambao wanajiweza sana kifedha
wanapenda sana kujulikana shuleni lakini inakuwa toofauti anapo amia dada mwingine amabaye maisha
yake ni ya chini lakini anakuwa anajulikana kuliko wao
7. The A-Team (2010)
inahusu wanajeshi wa malekani ambao walienda kupigana vita lakini wakasingiziwa kosa amabalo
hawajafanya hivyo wanalazimika kusafisha majina yao
8. Mr. Peabody & Sherman(2014)
movie hii ya katuni inamwonesha mbwa mwenye akili sana ambaye ana mwadopt mtoto na kuishi nae
lakini baadae anapata shida na kuambiwa hawezi kutunza mtoto kiswahili kilitumika kama pati fulani
ya mazungumzo
9. Madagascar: Escape 2 Africa (2008)
movie si ngen kwako ikiwahusisha wanyama waliokuwa wanakaa zoo lakini wanatoroka na kuja Afrika
wakisema tumerudi nyumbani
10.American Pie Presents Beta House (2007)
Movie hii ambayo kwa kiasi fulani ina mambo makubwa inahusu maisha ya wanafunzi fulani katika chuo
amabapo maisha yao ni sherehe na michezo tu







kiujumla kuna movie nyingi sana ambazo zinatumia lugha ya kiswahili sasa na balaza na watu kiujumla wanashirikiana kukitangaza ili kizidi kukuwa
HASANTE KWA KUSHIRIKI KUKUZA LUGHA YA KISWAHILI..............




HISTORIA
Kiswahili ni lugha ya kibantu na lugha ya kwanza ya waswahili neno kiswahili limetoka kwenye lugha ya kiarabu likimaanisha sawāḥil(سواحل) likimaanisha lugha ya watu wa visiwani.lugha hii ina misingi ya kiarabu na maneno yake mengi ni ya kiarabu iliyo anza haswa huko visiwani. huzungumzwa na watu zaidi ya million 49 kama lugha yao ya kuzaliwa. nchini Tanzania kiswahili husimamiwa na balaza la Kiswahili la taifa na nchini kenya husimamiwa na Chama cha Kiswahili cha Taifa.KISWAHILI HOLLYWOOD
imekuwa fahari kubwa sana kwa East Afrika kuona lugha hiyo ikivuka mipaka hadi kufika nchi za mbali na kuthaminiwa na wasanii wakubwa na hata kakika industry kubwa ya movie ambapo katika baadhi ya movie kimetumika kama part tu ya mazungumzo na nyingine zikitumia katika movie nzima.
Chini ni baadhi ya movie zilizohusisha kiswahili na hata kuchukua tuzo
- The Last King of Scotland (2006)
ikihusu udictator wa idd amini ambao alikuwa akiufanya kwa uganda,
ambapo mwaka 2007 ilishinda Oscar Awards
2. The Lion King (1994)
movie ambayo najua wengi mmeiona ikihusisha mazingira ya tanzania kama mbuga ya Serengeti na
mlima Kilimanjaro
3. Nowhere in Africa(2001)
Hii ni movie ya kigerman ikihusisha mazungumzo mengi katika lugha ya kiswahili na kigermani, movie
hii inamwonyesha kijana wa kiislaeli akikimbilia kenya kukimbia vita ya pili ya dunia iliyoanzishwa na
Adolf Hitra
4.Out of Africa (1985)
Movie hii ilichezwa kufwatana na kitabu cha Isak Dinesen ambaye alishinda tuzo inahusu wakenya
haswa
5. The African Queen (1951)
inahusu vita ya pili ambapo nahodha wa boti ndogo ya kiafrika analazimika kupigana na vyombo vya
kivita vya majini vya nchi nyingine
6 .Mean Girls (2004)
movie hii inaweza ikawa si ngeni sana kwako ikiwahusisha wadada ambao wanajiweza sana kifedha
wanapenda sana kujulikana shuleni lakini inakuwa toofauti anapo amia dada mwingine amabaye maisha
yake ni ya chini lakini anakuwa anajulikana kuliko wao
7. The A-Team (2010)
inahusu wanajeshi wa malekani ambao walienda kupigana vita lakini wakasingiziwa kosa amabalo
hawajafanya hivyo wanalazimika kusafisha majina yao
8. Mr. Peabody & Sherman(2014)
movie hii ya katuni inamwonesha mbwa mwenye akili sana ambaye ana mwadopt mtoto na kuishi nae
lakini baadae anapata shida na kuambiwa hawezi kutunza mtoto kiswahili kilitumika kama pati fulani
ya mazungumzo
9. Madagascar: Escape 2 Africa (2008)
movie si ngen kwako ikiwahusisha wanyama waliokuwa wanakaa zoo lakini wanatoroka na kuja Afrika
wakisema tumerudi nyumbani
10.American Pie Presents Beta House (2007)
Movie hii ambayo kwa kiasi fulani ina mambo makubwa inahusu maisha ya wanafunzi fulani katika chuo
amabapo maisha yao ni sherehe na michezo tu








kiujumla kuna movie nyingi sana ambazo zinatumia lugha ya kiswahili sasa na balaza na watu kiujumla wanashirikiana kukitangaza ili kizidi kukuwa
HASANTE KWA KUSHIRIKI KUKUZA LUGHA YA KISWAHILI..............
No comments: