Lionel Richie katika interview na THE SUN aliongelea nyimbo hiyo ya Adele,Lionel Richie akasema ni kweli haurusiwi kutumia maneno ya mtu bila kumtaja "acknowledgement",alisema alifikiria kumshitaki Adele kwa kosa la kuiba intro ya nyimbo yako,Lionel Richie mwenye miaka 66 alisema alimpigia simu mwanasheria wake ili wajipange kumpeleka mahakamani Adele ila wakashindwa waanzie wapi kwasababu neno "hello" halimilikiwi na Lionel Richie.Lakini baadae akasema kitendo hicho ni kama utani,kwani nyimbo ya Adele ni nzuri na yeye pia ni msanii mzuri.Lionel Richie pia alisema anatarajia kuwa kuna siku atafanya kolabo na Adele.
|
No comments: