Breaking News
recent

ABOUT BLOG/IJUE BLOG



Feel design ni blog ambayo inahusu maisha kiujumla ikizungumzia maisha tanzania na hata nchi za mbali katika aspects kama michezo na burudani pia muziki pamoja na fashion bila kusahau movies.
Blog hii imefunguliwa na prosper ngalla akiwa kama director mkuu pamoja na betuel edson akiwa kama chief exercutive wa blog, 
https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/11924744_930279947053001_1923202040758433208_n.jpg?oh=6902f135be98262b8d2e95c411550def&oe=567A6A6F&__gda__=1450783461_b02dc724b52ceeb0ed5acd599d5f18af
BETUEL EDSON AND PROSPER NGALLA


















Maremgo makubwa ya kuanzishwa kwa blog hii ni kukurahihisishia maisha msomaji much less kukukeep upto date na yale yanayojili katika secta kama za uigizaji,muziki,filamu na hata art
Kama ambavyo tumejitambulisha mara ya kwanza blog hii itadeal haswa na fashion,muziki,movies,travel,food na mengine mengi tukiwa tuna nia ya kukufanya ujue uvae nini msimu huu,nini cha kuvaa unapoenda kazini,nini usivae ukiwa dinner na mengine mengi.
Msomaji unaweza kuwasiliana nasi mija kwa moja kwa kucomment kupitia page yetu ya facebook “FEELdesign” ama kwa kutuandikia email kupitia email yetu feeldeign96@gmail.com .
THANK YOU…..

2 comments:

Powered by Blogger.