Breaking News
recent

LIST YA MA DJ 5 WANAOLIPWA SANA DUNIANI

ni jambo la kufurahisha kwa nchi kama zinozoendelea kukuwa kiuchumi kudharau kazi lalini hiyo imeonyesha tofauti kabisa pale ambapo watu kama ma dj wanaodharaulika nchi kama tanzania kuwa mamilionea kwa kile tu wanachokifanya....

          1.Calvin Harris $66 millions
             Calvin Harris aliye zaliwa Adam Richard Wiles,anapata kipato cha dollar $66 million akipiga nyimbo
             125 sehemu tofauti tofati duniani ambaye yeye anapendelea sana pop music na hata akipiga sana
             mabeat ya EDM(electronic dance music) ambapo amesha chukua tuzo mtv na hata billboard
             nafasi ya EDM
             No. 1: Calvin Harris $66 million

      2.David Guetta $30 millions
         Guetta au mstaafu mmliki wa club ya Parisian ameweza kupata kipato hicho akiwa katika tour na
         Rihanna ambapo pia ameweza kumtengenezea wimbo Lady Gaga na Britney Spears katika albums
         zao mpya
         No. 2: David Guetta $30 million  

    3.(TIE) Avicii $28 millions 
       Akiwa tu na miaka 24 kijana huyu wa Kisweden aliweza kuelekeza nguvu zake katika albumu yake
       TRUE ambapo albumu hiyo ilihusisha wimbo "Wake Me Up," ambao umekuwa ni wimbo wa kwanza
       wa EDM kuuza copy millioni 4 kwa marekani pekeake
       No. 3 (TIE): Avicii $28 million  

   4.(TIE) Tiesto $28 millions
       Kwa miaka michache iliyo pita DJ huyu wa kidutch alibadili mtazamo wake kutoka Ibiza kwenda
       Las Vegas ambapo sasa ana nyumba nzuri huko huku akiwa na clubu yake akifanya show zaidi ya 100
       kwa mwaka mmoja
       No. 3 (TIE): Tiesto $28 million  

  5.Steve Aoki $23 millions
     kwa mara ya kwanza Aoki aliingizwa kwenye list baada ya kupiga show 277 kwa msimu kuna mda
     hupiga show hata tatu kwa siku na ratiba yake imekuwa ngumu mara mbili ya mara ya kwanza Aoki
     anasema amemasta sanaa ya kulala masaa mawili au matatu wakati akisafili kwenda kufanya show
     ambapo pia ana mkataba na kampuni ya earphones kwa sababu hiyo ana earphones zake.
     No. 5: Steve Aoki $23 million

      


No comments:

Powered by Blogger.